Munishi na mke wake, siku walipofunga
pingu za maisha.Ilikuwa tarehe10-6-1989 mjini arusha TZ. Anayechukua
picha ni Karanja Kimwere, mtayarishaji wa vipindi KBC.

1974 Munishi akiwa na Miaka 14

Munishi akiwa na mguu uliovunjika Mwaka 1974. Kulia ni shemeji
Emmanuel Simel, Mmasai aliyemuoa dada yake mkubwa. Kushoto
ni Asnat Emmanuel Simel.

Munishi akiwa na miaka19

Huyu ni Munishi mchoraji wa picha akiwa na vifaa vya kazi
Mwaka 1979. Kulia ni mtalii kutoka Ujerumani aliyevutiwa na
uchoraji.

1984 DODOMA.
Baada ya Munishi kuokoka 1980 huko Arusha, alijiunga na mwinjilisti
Moses Kulola kihubiri injili Tanzania yote.Pichani kulia ni
Emmanuel Mwasota, akifuatiwa na Rev.Kulola aliyeketi, na mwisho
kushoto ni kijana ambaye Mungu alimteua kuikomboa Tanzania
kutoka katika minyororo ya CCM

Munishi baada ya kuokoka. 1980 Arusha.

Munishi aanza kazi ya uinjilisti kwa nyimbo. 1983 Picha hii
ilichapishwa mara nyingi kwenye gazeti la MFANYAKAZI.

1983 Hapo ndipo Munishi alipoonyeshwa maono kuiongoza Tanzania
.Alionyeshwa makosa ya Nyerere na akaanza kumpinga.

Munishi akimlisha keki mke Prisca wake mara tu baada ya kufunga
pingu za maisha 1989

Prisca akimlisha keki mama mkwe wake MAKOMBO huku baba
mkwe wake A. MUNISHI akiangalia kwa makini

Prisca akimlisha keki baba mkwe wake huku baba yake mzazi
EDWARD MBISE akiangalia

Munishi na mtoto wao wa kwanza Mojashi Munishi Mwaka 1991
Nairobi Kenya

Munishi na mtoto wao wa kwanza Mojashi Munishi Mwaka 1993
Nairobi Kenya

Munishi na Mke wake Prisca

Bwana na Bi Munishi wakifanya kile wanachokijua zaidi. Kumwimbia
Mungu nyimbo za sifa

Munishi na watoto wao wawili Mojashi aliyesimama, na Salelo
aliyebebwa. 1995 Nairobi Kenya

Mojashi 12, Mangi miezi 6, na salelo 7 ilikuwa mwaka 2000
Nyumbani kwao Ngong

Munishi mwaka 2000
Bonyeza
Hapa kwa Picha zaidi